Dini ni nasaha
Amesema -ADDIYNUN-NASIIHATU
Yaani ni nasaha kwa viumbe au kwa Mtume au kwa Mwenyezi Mungu. Ndiyo kusema kuwahurumia viumbe, kuishika dini ya Mwenyezi Mungu kwa uaminifu na kumsaidia Mtume katika kazi alizokabidhiwa na Mwenyezi Mungu.
Amesema -ADDIYNUN-NASIIHATU
Yaani ni nasaha kwa viumbe au kwa Mtume au kwa Mwenyezi Mungu. Ndiyo kusema kuwahurumia viumbe, kuishika dini ya Mwenyezi Mungu kwa uaminifu na kumsaidia Mtume katika kazi alizokabidhiwa na Mwenyezi Mungu.
1 Comments
Allah akbar
ReplyDelete