Buy with A mazon

Dini ni nasaha

 


Dini ni nasaha

 Amesema -ADDIYNUN-NASIIHATU

Yaani ni nasaha kwa viumbe au kwa Mtume au kwa Mwenyezi Mungu. Ndiyo kusema kuwahurumia viumbe, kuishika dini ya Mwenyezi Mungu kwa uaminifu na kumsaidia Mtume katika kazi alizokabidhiwa na Mwenyezi Mungu. 

Post a Comment

1 Comments

Close Menu